J. M. Coetzee

From Wikipedia

J.M.Coetzee mwaka wa 2006 (picha imepigwa na Mariusz Kubik)
Enlarge
J.M.Coetzee mwaka wa 2006 (picha imepigwa na Mariusz Kubik)

John Maxwell Coetzee (amezaliwa 9 Februari, 1940) ni mwandishi kutoka nchi ya Afrika Kusini. Hasa ameandika riwaya kuhusu athari za apartheid. Mwaka wa 2003 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "J. M. Coetzee" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu J. M. Coetzee kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine