Elizabeth Ann Seton

From Wikipedia

Elizabeth Ann Seton (28 Agosti, 17744 Januari, 1821) alikuwa mwanzishi wa jumuiya ya Masista wa Huruma (kwa Kiingereza Sisters of Charity), jumuiya ya kikatoliki ya kwanza huko Marekani. Hasa alifundisha na kuwasaidia watoto maskini wengi. Mwaka wa 1975 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 4 Januari.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Elizabeth Ann Seton" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Elizabeth Ann Seton kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine