Kokaku

From Wikipedia

Kokaku (17711840) alikuwa mfalme mkuu wa 119 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Morohito. Mwaka wa 1780 alimfuata mfalme mkuu Go-Momozono, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1817. Aliyemfuata ni mwana wake, Ninko.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kokaku" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kokaku kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine