Wadatoga
From Wikipedia
Wadatooga (pia huitwa Wataturu, Wamang'ati au Wabarabaig) ni kabila la Tanzania wanaoishi katika mikoa ya Manyara na Singida. Lugha yao ni Kidatooga.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wadatoga" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wadatoga kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |