Amaan Abeid Karume

From Wikipedia

Sheikh Abeid Amani Karume ni rais wa kwanza wa Zanzibar. Karume alipata nafasi ya kuiongoza Zanzibar baada ya mapinduzi yaliyoondoa utawala wa Sultani wa Oman Januari, 1964. Baada ya miezi mitatu, Zanzibar na Tanganyika ziliungana na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikazaliwa. Karume alikuwa ni makamu wa kwanza wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Amaan Abeid Karume" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Amaan Abeid Karume kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.