Pluto

From Wikipedia

Pluto ilikuwa ikitambulika kama sayari ya tisa katika mfumo wa jua na sayari zake toka mwaka 1930 hadi Agosti 2006. Chama chenye mamlaka juu ya masuala ya sayansi ya falaki, International Astronomical Union, kimeiondoa Pluto katika orodha ya sayari. Badala yake wameiita sayari kibeti. Hata hivyo baadhi ya wanasayansi wa falaki wamepinga uamuzi huo na wameanzisha kampeni ya kupinga uamuzi huo.

[edit] Viungo vya nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Pluto" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Pluto kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.