Bob Marley

From Wikipedia

Bob Marley (6 Februari, 194511 Mei, 1981) alikuwa mwanamuziki wa Jamaika. Jina lake la kuzaliwa ni Robert Nesta Marley. Alikuwa anapiga muziki wa Reggae. Alifuata dini ya WaRastafari na kuangaliwa kama nabii katika dini hiyo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bob Marley" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bob Marley kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.