1958
From Wikipedia
[edit] Matukio
- Maonyesho ya Dunia mjini Brussels (Ubelgiji)
- 2 Oktoba - Nchi ya Guinea inapata uhuru kutoka Ufaransa.
[edit] Waliozaliwa
- 29 Agosti - Michael Jackson (mwanamuziki)
[edit] Waliofariki
- 29 Mei - Juan Ramon Jimenez (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1956)
- 22 Agosti - Roger Martin du Gard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1937)
- 27 Agosti - Ernest Orlando Lawrence (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1939)
- 15 Desemba - Wolfgang Pauli (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1945)