Warungi

From Wikipedia

Warungi ni kabila kutoka eneo la pwani ya kusini-mashariki ya Ziwa Tanganyika, nchini Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Warungi ilikadiriwa kuwa 166,000 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Warungi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Warungi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine