Egwale Seyon

From Wikipedia

Egwale Seyon (alifariki 3 Juni, 1821) alikuwa mfalme mkuu wa Uhabeshi kuanzia Juni 1801 hadi kifo chake. Alikuwa mwana wa Hezqeyas. Alimfuata Demetros. Utawala wake ulisumbuliwa sana na vita miongoni mwa wana wafalme. Aliyemfuata ni Iyoas II.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Egwale Seyon" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Egwale Seyon kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine