Claude Simon

From Wikipedia

Claude-Eugène-Henri Simon (10 Oktoba, 19136 Julai, 2005) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa aliandika riwaya ambazo zinahusu wakati wa vita. Mwaka wa 1985 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Claude Simon" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Claude Simon kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine