Patrick White
From Wikipedia
Patrick Victor Martindale White (28 Mei, 1912 – 30 Septemba, 1990) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Australia. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1973 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Patrick Victor Martindale White (28 Mei, 1912 – 30 Septemba, 1990) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Australia. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1973 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.