Lima

From Wikipedia

Lima jinsi inavyoonekana kutoka angani
Enlarge
Lima jinsi inavyoonekana kutoka angani

Lima ni mji mkuu na kitovu cha uchumi wa Peru.

Mji uliundwa tar. 18 Januari 1535 na Francisco Pizarro kwa jina la "Ciudad de reyes" (mji wa wafalme). Leo hii una wakazi zaidi ya milioni sita.

Mahali pa Lima katika Peru
Enlarge
Mahali pa Lima katika Peru
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Lima" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Lima kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.