750
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 16-25 Januari: mapigano kwa mto Zab (Iraki), mwisho wa ukhalifa wa Waumawiya, mwanzo wa ukhalifa wa Waabbasi
- Dola la Ghana linaanzishwa takriban wakati huu kwa mchanganyiko wa Waberberi na Wasoninke katika eneo la Awkar si mbali na Wagadugu.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- Marwan II (khalifa wa mwisho wa Wamuawiya - *688)