Mbotela

From Wikipedia

Mbotela ni neno linaloweza kutaja

  • Mbotela (Nairobi) ni eneo (kata) katika tarafa ya Makadara ndani ya jiji la Nairobi


  • Mbotela ni jina la watu
  • Walter Mbotela, mtaalamu Mkenya wa Kiswahili ("Jifunze Kiswahili")
  • James Juma Mbotela, mwanahistoria Mkenya anayefundisha Marekani
  • James Mbotela, mwandishi wa kitabu cha "Uhuru wa watumwa" (1934)


Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Chagua maana uliyoikusudi.

Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.