Washambaa

From Wikipedia

Washambaa ni kabila kutoka eneo la Milima ya Usambara, kaskazini-mashariki ya nchi ya Tanzania. Mwaka 2001 idadi ya Washambaa ilikadiriwa kuwa 664,000 [1]. Lugha yao ni Kishambala.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Washambaa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Washambaa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine