Bendera ya Zanzibar

From Wikipedia

Zanzibar bendera jipya 2005  (tangu Januari 2005)
Enlarge
Zanzibar bendera jipya 2005
(tangu Januari 2005)
Bendera ya Zanzibar mwaka 1964 baada ya mapinduzi hadi maungano na Tanganyika
Enlarge
Bendera ya Zanzibar mwaka 1964
baada ya mapinduzi hadi maungano na Tanganyika
Usultani wa  Zanzibar Disemba 1963 hadi Januari 1964
Enlarge
Usultani wa Zanzibar
Disemba 1963 hadi Januari 1964
Usultani wa  Zanzibar  bendera ya kalebendera nyekundu sawa na Omani wakati ule, kiasili ni bendera ya Sharifa wa Maka
Enlarge
Usultani wa Zanzibar
bendera ya kale
bendera nyekundu sawa na Omani wakati ule,
kiasili ni bendera ya Sharifa wa Maka

Zanzibar ilhali ni sehemu ya Jamhuri ya Maungano ya Tanzania ilipata tena bendera ya pekee tangu Januari 2005. Inaunganisha bendera ya Tanzania na ile ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ya mwaka 1964 iliyotumika kati ya mapinduzi ya Januari na maungano ya Zanzibar na Tanganyika katika Juni 1964.

Zanzibar ilikuwa na bendera yake tangu kuhamia kwa Sultani wa Omani kutoka Maskat kuja Zanzibar. Bendera nyekundu ilikuwa sawa na ile ya Sharifa wa Maka.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1963 usultani uliongeza alama ya karafuu katika bendera yake.


[edit] Viungo vya nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bendera ya Zanzibar" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bendera ya Zanzibar kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.