Hermann Hesse

From Wikipedia

Hermann Hesse (2 Julai, 18779 Agosti, 1962) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ujerumani. Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia alihamia Uswisi. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1946 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Hermann Hesse" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Hermann Hesse kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine