Guyana

From Wikipedia

Co-operative Republic of Guyana
Flag of Guyana Nembo ya Guyana
Bendera Nembo
Wito la taifa: One people, one nation, one destiny
"Umma moja, taifa moja, mwelekeo wetu"
Wimbo wa taifa: Dear Land of Guyana, of Rivers and Plains
Lokeshen ya Guyana
Mji mkuu Georgetown
6°49′ N 58°9′ E
Mji mkubwa nchini Georgetown
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali
Rais
Waziri Mkuu
Jamhuri
Bharrat Jagdeo
Samuel Hinds
Uhuru
Kutoka Uingereza
Jamhuri

26 Mei 1966
23 Februari 1970
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
214,969 km² (ya 84)
8.4
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - 2002 sensa
 - Msongamano wa watu
 
751,000 (ya 162)
751,223
3.5/km² (ya 217)
Fedha dollar ya Guyana (GYD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-4)
(UTC)
Intaneti TLD .gy
Kodi ya simu +592


Guyana ni nchi katika Amerika Kusini. Imepakana na Suriname upande wa mashariki, na Brazil upande wa kusini na kusini-magharibi halafu na Venezuela upande wa magharibi.

Ni nchi ndogo ya tatu barani. Guyana ni nchi ya pekee katika Amerika Kusini inayotumia Kiingereza kama lugha rasmi.


Contents

[edit] Viungo vya Nje

[edit] Government

[edit] Kwa Jumla

[edit] Nyongeza