Alfred Werner

From Wikipedia

Alfred Werner (12 Desemba, 186615 Novemba, 1919) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uswisi. Pamoja na utafiti mwingine alichunguza elementi ya naitrojeni. Mwaka wa 1913 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Alfred Werner" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Alfred Werner kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.