George Beadle
From Wikipedia
George Wells Beadle (22 Oktoba, 1903 – 9 Juni, 1989) alikuwa mwanajenetiki kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza uhusiano kati ya jeni na vimeng’enya. Mwaka wa 1958, pamoja na Edward Tatum na Joshua Lederberg alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.