Rio de Janeiro

From Wikipedia

Jiji la Rio de Janeiro linavyoonekana kutoka mlima Corcovado
Enlarge
Jiji la Rio de Janeiro linavyoonekana kutoka mlima Corcovado
Mapwa mashuhuri ya Copacabana
Enlarge
Mapwa mashuhuri ya Copacabana
Favela-mtaa wa vibanda
Enlarge
Favela-mtaa wa vibanda
Rio kutoka angani
Enlarge
Rio kutoka angani

Rio de Janeiro ni mji mkubwa wa pili nchini Brazil baada ya São Paulo.

Ilikuwa mji mkuu wa nchi hadi 21 Aprili 1960. Leo ni mji mkuu wa jimbo la shirikisho la Rio de Janeiro. Mwaka 2000 rundiko la jiji lilikuwa na wakazi 5,473,909.


Rio de Janeiro ni mji wa Brazil unaojulikana zaidi kote duniani. Ni kitovu cha utalii na cha utamaduni. Kanivali yake inavuta wageni wengi kila mwaka. Mlima wa Corcovado unabeba Sanamu ya Mwokozi ambayo ni sanamu kubwa ya Yesu yenye kimo cha 30 m.

[edit] Viungo vya Nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Rio de Janeiro" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Rio de Janeiro kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.