Luvua
From Wikipedia
Luvua ni mto katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Chanzo chake ni Ziwa Mweru mpakani wa Kongo na Zambia. Mdomo uko Lualaba ambayo ni tawimto wa Kongo.
Luvua ni mto katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Chanzo chake ni Ziwa Mweru mpakani wa Kongo na Zambia. Mdomo uko Lualaba ambayo ni tawimto wa Kongo.