Willem Einthoven

From Wikipedia

Willem Einthoven (1906)
Enlarge
Willem Einthoven (1906)
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Willem Einthoven (21 Mei, 186029 Septemba, 1927) alikuwa daktari na mwanafiziolojia kutoka nchi ya Uholanzi. Hasa alichunguza maswali ya umeme wa moyo na kuunda mbinu za kuupima. Mwaka wa 1924 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Willem Einthoven" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Willem Einthoven kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.