Elias Canetti

From Wikipedia

Kaburi ya Elias Canetti
Enlarge
Kaburi ya Elias Canetti

Elias Canetti (25 Julai, 190514 Agosti, 1994) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Bulgaria. Baadaye aliishi nchini Uingereza. Aliandika riwaya na pia tamthiliya; aliandika maandishi yake yote katika lugha ya Kijerumani. Mwaka wa 1981 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Elias Canetti" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Elias Canetti kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine