Carl Spitteler

From Wikipedia

Carl Spitteler mnamo 1905
Enlarge
Carl Spitteler mnamo 1905

Carl Friedrich Georg Spitteler (24 Aprili, 184529 Desemba, 1924) alikuwa mshairi kutoka nchi ya Uswisi. Hasa aliandika mashairi, riwaya fupi na insha. Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Carl Spitteler" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Carl Spitteler kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.