Papa Pius XII
From Wikipedia
Papa Pius XII (2 Machi 1876 – 9 Oktoba 1958) alikuwa Papa kuanzia 2 Machi, 1939 hadi kifo chake. Alitoka nchi ya Italia. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Eugenio Maria Guiseppe Giovanni Pacelli. Alivishwa taji 12 Machi 1939.