Pangani

From Wikipedia

Mto wa Pangani karibu na mdomo
Enlarge
Mto wa Pangani karibu na mdomo

Pangani ni jina la mto, wilaya na mji katika Tanzania.

* Mto wa Pangani unabeba maji ya Milima ya Meru, Kilimanjaro, Pare na Usambara kwenda Bahari Hindi. Mdomo wake uko mjini Pangani.

* Wilaya ya Pangani ni kati ya wilaya za mkoa wa Tanga.

* Mji wa Pangani ni makao makuu wa wilaya ya Pangani iliyomo mkoa wa Tanga ufukoni mwa Bahari ya Hindi na mto wa Pangani.

  • Jina la Pangani hupatikana pia katika miji mbalimbali likitaja eneo au mtaa ndani yake, kwa mfano Pangani katika Nairobi, karibu na Eastleigh. Maana ni "eneo watu walipopanga nyumba zao".
Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Chagua maana uliyoikusudi.

Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.

Lugha nyingine