Wolfgang Pauli

From Wikipedia

Wolfgang Pauli (25 Aprili, 190015 Desemba, 1958) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Austria. Hasa alichunguza nadharia ya Albert Einstein (Relativity Theory) na nadharia ya kwanta. Mwaka wa 1925 alitangaza Kanuni ya Pauli. Mwaka wa 1945 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wolfgang Pauli" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wolfgang Pauli kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.