Heinrich Böll
From Wikipedia

Sanamu ya Heinrich Böll katika mji wa Berlin.
Heinrich Theodor Böll (21 Desemba, 1917 – 16 Julai, 1985) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1972 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.