Warungwa

From Wikipedia

Warungwa ni kabila kutoka eneo la wilaya ya Mpanda, mkoa wa Rukwa, magharibi ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Warungwa ilikadiriwa kuwa 18,000 [1]. Lugha yao ni Kirungwa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Warungwa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Warungwa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine