Wampoto

From Wikipedia

Wampoto ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Ruvuma, Wilaya ya Mbinga. Lugha yao ni Kimpoto.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wampoto" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wampoto kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine