Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu
From Wikipedia
|
|||
Wito: Uhuru, Demokrasia, Umoja | |||
![]() |
|||
Lugha rasmi | Ḥassānīya Kiarabu na Kihispania | ||
Mji mkuu na mji mkubwa | Laâyoune – (kwa maandishi ya Kimoroko: (El Aaiún, al-'uyūn)) | ||
Rais (serikali ya nje) | Mohamed Abdelaziz | ||
Waziri mkuu (serikali ya nje) | Abdelkader Taleb Oumar | ||
Eneo - jumla - % maji |
266,000 km² --- |
||
Wakazi - Jumla - Wakazi/km² |
267,405 (Julai 2004 kadirio) 1/km² |
||
Uhuru - Imetangazwa - Imetawaliwa |
Kutoka Hispania 27.02.1976 na Moroko |
||
Pesa | Dirham ya Moroko Dirham (MAD) | ||
Wakati | UTC 0 | ||
Wimbo la Taifa | Yābaniy Es-Saharā (listen) |
Jamhuri ya Sahara ya Kidemokrasia ya Kiarabu ni jina la dola ambalo liko hasa nje ya eneo lake la Sahara ya Magharibi. Serikali yake inatawala kanda la mashariki ya nchi nje ya ukuta wa kimaroko na makambi ya wakimzi 155,000 ndani ya Algeria. Jamhuri ilitangazwa na Polisario mwaka 1976 baada ya kuodoka kwa Hispania katika koloni yake ya awali. Lakini sehmu kubwa ya eneo ilivamiwa na Maroko.
Serikali iko mkononi mwa Polisario. Rais ya Jamhuri ni Katibu Mkuu wa Polisario Mohamed Abdelaziz. Nchi 53 zimekubali Jamhuri.
Nchi za Afrika | ![]() |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad |Cote d'Ivoire | Djibouti | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia |