Albert Camus

From Wikipedia

Albert Camus alivyochorwa na Petr Vorel.
Enlarge
Albert Camus alivyochorwa na Petr Vorel.

Albert Camus (7 Novemba, 19134 Januari, 1960) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Alizaliwa katika nchi ya Algeria. Hasa anajulikana kwa riwaya zake, k.m. "Mgeni" (kwa Kifaransa L'Étranger, mwaka wa 1942) au "Tauni" (La Peste, mwaka wa 1947). Mwaka wa 1957 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi. Aliuawa katika ajali ya motokaa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Albert Camus" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Albert Camus kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine