Tanganyika

From Wikipedia

Tanganyika ni

Tanganyika ilikuwa sehemu kubwa wa koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani kasoro maeneo ya Rwanda na Burundi. Tanganyika imekabidhiwa kwa Uingereza na Shirikisho la Mataifa 1920 baada ya ya vita vikuu vya kwanza, wakati Ujerumani imechukuliwa koloni zake zote.

Waingerezea waliamua kutumia jina ya Tanganyika kwa ajili ya eneo hili kutokana na ziwa kubwa ambalo ni mpaka wa mashariki wa eneo lake.

Tanganyika imepata uhuru wake tar. 09.12.1961 (taz.: Historia ya Tanzania).

Mwaka 1964 imeunganishwa na Zanzibar kuwa Jamhuri ya Maungano ya Tanzania.

Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Chagua maana uliyoikusudi.

Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.