Kilindi

From Wikipedia

Wilaya ya Kilindi katika Mkoa wa Tanga
Enlarge
Wilaya ya Kilindi katika Mkoa wa Tanga

Kilindi ni kati ya wilaya 7 za Mkoa wa Tanga katika Tanzania. Imepakana na wilaya ya Handeni upande wa mashariki, Mkoa wa Kilimanjaro upande wa magharibi-kaskazini na Mkoa wa Morogoro upande wa kusini.

Mwaka 2002 ilikuwa na wakazi 144,359.[1]

[edit] Tarafa

Wilaya ya Kilindi ina tarafa 15:

  • Jaila
  • Kikunde
  • Kilindi
  • Kimbe
  • Kisangasa
  • Kwediboma
  • Lwande
  • Masagalu
  • Mkindi
  • Msanja
  • Mvungwe
  • Negero
  • Pagwi
  • Saunyi
  • Songe

[edit] Viungu vya nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kilindi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kilindi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.


 
Mikoa ya Tanzania
Bandera Tanzania
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Iringa | Kagera | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi |
Lugha nyingine