Koffi Annan
From Wikipedia
Kofi Annan ni katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa. Alizaliwa Aprili 8, 1938 huko Kumasi, Ghana. Alipewa jina Kofi kuonyesha kuwa alizaliwa siku ya Ijumaa kuendana na utamaduni wa kabila la Akan. Jina Annan linamaanisha kuwa alikuwa ni mtoto wa nne kuzaliwa.
Kofi Annan ana watoto watatu toka kwenye ndoa tofauti. Hivi sasa ameoana na Nane Maria Annan ambaye ni mwanasheria wa Kiswidi.