Bob Marley
From Wikipedia
Bob Marley (6 Februari, 1945 – 11 Mei, 1981) alikuwa mwanamuziki wa Jamaika. Jina lake la kuzaliwa ni Robert Nesta Marley. Alikuwa anapiga muziki wa Reggae. Alifuata dini ya WaRastafari na kuangaliwa kama nabii katika dini hiyo.