Claude Simon
From Wikipedia
Claude-Eugène-Henri Simon (10 Oktoba, 1913 – 6 Julai, 2005) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa aliandika riwaya ambazo zinahusu wakati wa vita. Mwaka wa 1985 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Claude-Eugène-Henri Simon (10 Oktoba, 1913 – 6 Julai, 2005) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa aliandika riwaya ambazo zinahusu wakati wa vita. Mwaka wa 1985 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.