Itifaki

From Wikipedia

Itifaki: orodha au mpangilio wa visa kwenye sherehe, mkutano, mjadala na kadhalika. Programu.

Itifaki ni pia Kitabu chenye orodha ya maneno ya maandishi fulani. "Itifaki ya Biblia" (imetolewa 1990 na Central Tanganyika Press) ina orodha ya maneno yote ya Biblia na madondoo yake. Ni chombo muhimi cha utafiti wa lugha.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Itifaki" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Itifaki kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.