Turkana (ziwa)
From Wikipedia
Ziwa la Turkana | |
---|---|
|
|
Mahali | Afrika ya Mashariki |
Nchi zinazopakana | Kenya (Ethiopia ina pembe ya kaskazini kabisa) |
Eneo la maji | 6.405 km² |
Kina ya chini | 73 m |
Mito inayoingia | Omo, Turkwel na Kerio |
Mito inayotoka | -- |
Kimo cha uwiano wa maji juu ya UB | 375 m |
Miji mikubwa ufukoni | (vijiji vichache tu) |
Ziwa Turkana ni ziwa katika kaskazini yabisi ya Kenya. Haina mto unaotoka na maji yanayoingia inapotea kwa njia ya uvukizaji.