Mita ya mraba
From Wikipedia
Mita ya mraba (m²) ni kipimo cha eneo kinachotumika zaidi kimataifa; eneo lenye upana na urefu wa mita moja
Msingi wake ni kipimo cha urefu cha mita (m).
1 m² ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa mita moja kila upande
- 0.000 001 kilomita za mraba (km²)
- 10,000 sentimita za mraba (cm²)
- 0.000 1 hektari (ha)
- 0.000 247 105 381 ekari
- 10.763 911 futi za mraba
- 1,550.003 1 inchi za mraba