Papa Pius XI
From Wikipedia
Papa Pius XI (31 Mei 1857 – 10 Februari 1939) alikuwa Papa kuanzia 6 Februari, 1922 hadi kifo chake. Alitoka nchi ya Italia. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Achille Ambrogio Damiano Ratti. Alivishwa taji 12 Februari 1922. Kabla ya kuchaguliwa kama Papa, alikuwa askofu mkuu wa Milano (tangu 1921).
Categories: Papa | Mbegu