Hirohito wa Japani
From Wikipedia
Hirohito (29 Aprili, 1901 – 7 Januari, 1989) alikuwa mfalme mkuu wa 124 (Tenno) wa Japani. Alimfuata baba yake Yoshihito tarehe 25 Desemba, 1926 na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni mwana wake Akihito.
Hirohito (29 Aprili, 1901 – 7 Januari, 1989) alikuwa mfalme mkuu wa 124 (Tenno) wa Japani. Alimfuata baba yake Yoshihito tarehe 25 Desemba, 1926 na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni mwana wake Akihito.