Wilaya ya Ngorongoro
From Wikipedia
Wilaya ya Ngorongoro ni wilaya moja ya Mkoa wa Arusha. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Ngorongoro ilihesabiwa kuwa 129,776 [1].
Wilaya ya Ngorongoro ni wilaya moja ya Mkoa wa Arusha. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Ngorongoro ilihesabiwa kuwa 129,776 [1].