Ithreamu

From Wikipedia

Ithreamu alikuwa mwana wa Mfalme Daudi wa Israeli. Mama yake alikuwa Egla. Ametajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika Kitabu cha Pili cha Samueli, sura ya 3, mstari wa 5.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ithreamu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ithreamu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.