Sakuramachi

From Wikipedia

Sakuramachi (17201750) alikuwa mfalme mkuu wa 115 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Teruhito. Mwaka wa 1735 alimfuata baba yake, Nakamikado, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1747. Aliyemfuata ni mwana wake, Momozono.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sakuramachi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sakuramachi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine