Frantz Fanon
From Wikipedia
Frantz Fanon (20 Julai, 1925 – 6 Desemba, 1961) alikuwa mwandishi wa Kifaransa aliyezaliwa kwenye kisiwa cha Martinique. Maandishi yake hasa yalilenga kukosoa ukoloni.
Frantz Fanon (20 Julai, 1925 – 6 Desemba, 1961) alikuwa mwandishi wa Kifaransa aliyezaliwa kwenye kisiwa cha Martinique. Maandishi yake hasa yalilenga kukosoa ukoloni.