Warangi

From Wikipedia

Warangi ni kabila kutoka mkoa wa Dodoma, ulioko katikati ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1999 idadi ya Warangi ilikadiriwa kuwa 350,000 [1].

Kirangi ni lugha ya Warangi, ambacho kinaitwa Kilaangi kwa lugha yao.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Warangi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Warangi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine