Ahinoamu

From Wikipedia

Ahinoamu alikuwa mke wa Mfalme Daudi wa Israeli. Ametajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania, katika Kitabu cha Pili cha Samueli, sura ya 3, mstari wa 2. Alimzalia Daudi mwana aliyeitwa Amnoni.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ahinoamu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ahinoamu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine