Henri Bergson

From Wikipedia

Henri Bergson (18 Oktoba, 18594 Januari, 1941) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Mwaka wa 1927 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Henri Bergson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Henri Bergson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.