William Faulkner
From Wikipedia
William Faulkner (25 Septemba, 1897 – 6 Julai, 1962) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1949 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
William Faulkner (25 Septemba, 1897 – 6 Julai, 1962) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1949 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.