Gertrude Mongella
From Wikipedia
Gertrude Ibengwe Mongella ni rais wa Bunge la Umoja wa Afrika. Mongella alizaliwa Ukerewe, Mwanza, nchini Tanzania mwaka 1945. Mongella alikuwa Katibu Mkuu wa Mkutano wa Nne wa Umoja wa Mataifa wa Wanawake uliofanyika Beijing, China mwaka 1995.