Arthur Kornberg
From Wikipedia
Arthur Kornberg (amezaliwa 3 Machi, 1918) ni daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza DNA. Mwaka wa 1959, pamoja na Severo Ochoa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Arthur Kornberg (amezaliwa 3 Machi, 1918) ni daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza DNA. Mwaka wa 1959, pamoja na Severo Ochoa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.