Karl Landsteiner

From Wikipedia

Karl Landsteiner (14 Juni, 186826 Juni, 1943) alikuwa daktari kutoka nchi ya Austria. Baadhi ya utafiti mwingi alichunguza virusi visababishavyo magonjwa mbalimbali. Aligundua aina nne za damu ya mwanadamu. Mwaka wa 1930 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Karl Landsteiner" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Karl Landsteiner kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.