Verner von Heidenstam

From Wikipedia

Verner von Heidenstam (6 Julai, 185920 Mei, 1940) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Sweden. Hasa aliandika mashairi na riwaya. Mwaka wa 1916 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Verner von Heidenstam" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Verner von Heidenstam kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine