Daktari

From Wikipedia

Daktari (ma) ni neno la asili ya Kilatini lililoingia Kiswahili kwa kupitia Kiingereza. Hutumiwa na maana mbili:

1) Mtaalamu aliyepata mafunzo maalum kwenye chuo kikuu ya kutibu maradhi au wagonjwa. Mtu wenye ujuzi wa kutibu wanaitwa pia mganga (wa), tabibu (ma).

2) Kwa kufuata tabia za lugha nyingine dakta(ri) hutumiwa pia kama jina la heshima la mtu aliyepata shahada ya juu kabisa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Daktari" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Daktari kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.