Douala
From Wikipedia
Douala ni mji mkubwa wa Kamerun ikiwa na wakazi 1,338,144 (2005). Iko 24 km kutoka bahari kwenye mdomo pana wa mto Wouri unaokwisha kwenye Ghuba ya Guinea ya Atlantiki. Bandari yake inaifanya kuwa kitovu wa kiuchumi wa nchi.
Wakati wa ukoloni wa Kijerumani ilikuwa mji mkuu wa Kamerun.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Douala" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Douala kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |