Ubelgiji

From Wikipedia

Koninkrijk België
Royaume de Belgique
Königreich Belgien

Ufalme wa Ubelgiji
Flag of Ubelgiji Nembo ya Ubelgiji
Bendera Nembo
Wito la taifa: Kiholanzi: Eendracht maakt macht;
Kifaransa: L'union fait la force;
Kijerumani: Einigkeit macht stark
(Kiswahili: "Umoja ni nguvu")
Wimbo wa taifa: "La Brabançonne" (Wimbo la Brabant)
Lokeshen ya Ubelgiji
Mji mkuu Brussels
50°54′ N 4°32′ E
Mji mkubwa nchini Brussels, Antwerp(1)
Lugha rasmi Kiholanzi, Kifaransa, Kijerumani
Serikali
Mfalme
Waziri Mkuu
Ufalme wa kikatiba
Albert II
Guy Verhofstadt
Uhuru
Mapinduzi ya Ubelgiji
1830
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
30,528 km² (ya 140)
6.4
Idadi ya watu
 - 2005 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
10,419,000 (ya 77)
10,296,350
342/km² (ya 29)
Fedha Euro (EUR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .be
Kodi ya simu +32

Ubelgiji (België kwa Kiholanzi, Belgique kwa Kifaransa na Belgien kwa Kijerumani) ni nchi ya Ulaya ya Magharibi. Imepakana na Ufaransa, Uholanzi, Ujerumani na Luxemburg. Ina pwani na Bahari ya Kaskazini.

Mji mkuu ni Brussels.

Ubelgiji ina majimbo matatu: jimbo la Flandria katika penye Waflaam wanaotumia lugha ya Kiholanzi, Wallonia katika Kusini penye Wawallonia wanaotumia Kifaransa na jimbo la mji mkuu wa Brussels penye lugha zote. Katika Wallonia kuna pia wilaya ambakao wakazi wanatumia hasa lugha ya Kijerumani ambacho ni lugha ya tatu ya kitaifa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ubelgiji" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ubelgiji kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.