Gabriel Lippmann

From Wikipedia

Gabriel Lippmann
Enlarge
Gabriel Lippmann

Gabriel Lippmann (16 Agosti, 184513 Julai, 1921) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza taalamu ya kupiga picha kwa rangi. Mwaka wa 1908 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Gabriel Lippmann" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Gabriel Lippmann kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.