Tegucigalpa

From Wikipedia

Kanisa Kuu la Tegucigalpa
Enlarge
Kanisa Kuu la Tegucigalpa
Ikulu
Enlarge
Ikulu
Mfano wa hekalu ya utamaduni asilia kabla ya kufika kwa Wahispania
Enlarge
Mfano wa hekalu ya utamaduni asilia kabla ya kufika kwa Wahispania

Tegucigalpa ((Tegus kwa kifupi) ni mji mkuu na mji mkubwa nchini Honduras.

Ina wakazi zaidi ya milioni moja.

Mji ulianzishwa na Wahispania mwaka 1578 kwa jina la "Real Villa de San Miguel de Tegucigalpa de Heredia" kama kituo cha migodi ya dhahabu na fedha.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Tegucigalpa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Tegucigalpa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.