Knut Hamsun

From Wikipedia

Knut Hamsun (akiwa na umri wa miaka 31) mnamo 1890
Enlarge
Knut Hamsun (akiwa na umri wa miaka 31) mnamo 1890

Knut Hamsun (4 Agosti, 185919 Februari, 1952) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Norway. Hasa aliandika mashairi na riwaya. Mwaka wa 1920 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Knut Hamsun" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Knut Hamsun kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.