Kanada
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: Kilatini: A Mari Usque Ad Mare ("Bahari hadi bahari") |
|||||
Wimbo wa taifa: "O Canada" Wimbo wa kifalme: "God Save the Queen" |
|||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | Ottawa |
||||
Mji mkubwa nchini | Toronto | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza, Kifaransa | ||||
Serikali
Mfalme (malkia) Gavana Mkuu Waziri mkuu |
Ufalme, shirikisho, demokrasia Malkia Elizabeth II Michaëlle Jean Stephen Harper |
||||
Uhuru Sheria ya 1867 Mkataba wa Westminster Sheria kuhusu Kanada |
1 Julai 1867 11 Desemba 1931 17 Aprili 1982 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
9,984,670 km² (ya 2) 8.92 (891,163 km²) |
||||
Idadi ya watu - 2006 kadirio - 2001 sensa - Msongamano wa watu |
32,623,490 (ya 36) 30,007,094 3.2/km² (ya 219) |
||||
Fedha | Dollar ya Kanada ($) ( ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-3.5 to -8) (UTC-2.5 to -7) |
||||
Intaneti TLD | .ca | ||||
Kodi ya simu | +1 |
Kanada ni nchi kubwa ya Amerika ya Kaskazini. Mji mkuu ni Ottawa. Ni nchi kubwa duniani baada ya Urusi lakini idadi wa wakazi ni milioni 32 tu.
[edit] Jiografia
Kanada ni nchi kubwa sana lakini maeneo mengi ni baridi mno hawana watu. Pwani la Kanada ni ndefu kushinda nchi zote za dunia ikipakana na Atlantiki, Pasifiki na Bahari ya Aktika.
Jumla ya wakazi milioni 32 huishi katika majimbo 10 na maeneo matatu ya kitaifa.
Katika eno la 9,984,670 km² ni 9,093,507 km² nchi kavu na 891,163 km² maji. Umbali kutoka Rasi Columbia kwenye kisiwa cha Ellesmere katika kaskazini hadi kisiwa cha kisiwa cha Middle Island katika ziwa la Erie jimboni Ontaria ni 4,634 km.
Umbali kutoka Rasi Spear katika Newfoundland upande wa mashariki hadi mpaka na Alaska upande wa magharibi ni 5,514 km.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Kanada" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Kanada kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |