Mkoa wa Shinyanga

From Wikipedia

Mkoa wa Shinyanga katika Tanzania
Enlarge
Mkoa wa Shinyanga katika Tanzania

Mkoa wa Shinyanga ni kati ya mikoa 26 za Tanzania. Makao makuu ndipo Shinyanga. Mkoa umepakana upande wa kaskazini na mikoa ya Mwanza, Mara na Kagera, upande wa kusini na Mkoa wa Tabora. Mkoa wa Kigoma uko upande wa magharibi, Mkoa wa Singida kusini-magharibi na mikoa ya Arusha na Manyara mashariki.

Mkoa una wakazi 2,796,630 kufuatana na sensa ya 2002. [1]

[edit] Wilaya

Wilaya ndani ya mkoa wa Shinyanga
Enlarge
Wilaya ndani ya mkoa wa Shinyanga

Mkoa wa Shinyanga una wilaya 8: Bariadi, Bukombe, Kahama, Kishapu, Maswa, Meatu, Shinyanga vijijini and Shinyanga mjini.


[edit] Utamaduni

Makabila ya Shinyanga ndio hasa are the Wasukuma, Wanyamwezi na Wasumbwa.

[edit] Viungo vya nje


 
Mikoa ya Tanzania
Bandera Tanzania
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Iringa | Kagera | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi |
Lugha nyingine