Bezaleli

From Wikipedia

Bezaleli alikuwa fundi anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania katika kitabu cha Kutoka, sura ya 35 kuanzia mstari wa 30. Alikuwa Mwanaisraeli kutoka kabila la Yuda.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bezaleli" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bezaleli kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine