Talk:Yesu

From Wikipedia

Tazama pia Yesu Kristo. Matt Crypto 17:18, 11 Februari 2006 (UTC)

Nisingeunganisha makala hizo mbili za Yesu na Yesu Kristo. "Yesu" itakuwa ni makala juu ya mtu aliyeishi miaka 2000 duniani; Wakristo wanamwamini yeye ni mwana wa Mungu na mwokozi. "Yesu Kristo" ni makala juu ya namna ya pekee jinsi kumtaja. Hajajiita hivyo kamwe; "Yesu Kristo" ni matamshi ya watu waliomwamini baada ya kifo chake wakiunganisha lugha za kiyahudi na kigiriki. --Kipala 23:35, 2 Septemba 2006 (UTC)