Bjørnstjerne Bjørnson
From Wikipedia
Bjørnstjerne Martinius Bjørnson (8 Desemba, 1832 – 26 Aprili, 1910) alikuwa mwandishi, mshairi na mhariri kutoka nchi ya Norwei. Katika Norwei ya karne ya 19, Bjørnson alikuwa mwandishi mkuu wa pili baada ya Henrik Ibsen. Mwaka wa 1903 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.