1937
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 7 Februari - Elihu Root (mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1912)
- 16 Machi - Austen Chamberlain (mwanasiasa Mwingereza na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1925)
- 11 Julai - George Gershwin (mtungaji wa muziki Mmarekani)
- 20 Julai - Guglielmo Marconi (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1909)
- 19 Oktoba - Ernest Rutherford (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1908)
- 9 Desemba - Nils Dalen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1912)
- 21 Desemba - Frank Kellogg (mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1929)