Bendera ya Burkina Faso
From Wikipedia
Bendera ya Burkina Faso ina milia miwili ya kulala ya nyekundu na ya kijani. Katikati iko nyota ya pembetano ya rangi njano.
Hizi rangi za nyekundu-kijani-njano ni rangi za Umoja wa Afrika.
Bendera hii ilianzishwa rasmi Agosti 1984.
Kabla ya tarehe hii Benin ilitumia bendera ya zamani iliaoanzishwa wakati nchi bado iliitwa "Volta ya Juu".