KKK
From Wikipedia
KKK ni kifupi chake cha "Kamusi ya Kiswahili - Kiingereza" iliyoandaliwa na wataalamu wa TUKI kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kutolewa mwaka 2001.
Kamusi hii inataja maana za Kiingereza kwa maneno zaidi ya 50,000 ya Kiswahili.
[edit] Marejeo
- Kamusi ya Kiswahili - Kiingereza (KKK) (imetungwa TUKI, Dar es Salaam 2001)