Erik Axel Karlfeldt

From Wikipedia

Erik Axel Karlfeldt (20 Julai, 18648 Aprili, 1931) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Sweden. Hasa aliandika mashairi juu ya maisha ya nchi yake. Mwaka wa 1931 aliteuliwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi. Aliteuliwa baada ya kufa tu; alikuwa ameikataa mwaka wa 1918.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Erik Axel Karlfeldt" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Erik Axel Karlfeldt kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine