Elfriede Jelinek

From Wikipedia

Elfriede Jelinek (amezaliwa 20 Oktoba, 1946) ni mwandishi kutoka nchi ya Austria. Hasa ameandika riwaya na pia tamthiliya. Mwaka wa 2004 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Elfriede Jelinek" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Elfriede Jelinek kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine