Wamaasai

From Wikipedia

Wamaasai, Kenya
Enlarge
Wamaasai, Kenya

Wamaasai ni kabila la watu wapatao 900,000 wanaoishi Kenya na Tanzania. Jina la jiji "Nairobi" limetokana na neno la Kimaasai Enkarenairobi (linalomaanisha "mahali penye maji baridi").

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wamaasai" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wamaasai kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.