1877
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 4 Juni - Heinrich Otto Wieland (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1927)
- 7 Juni - Charles Glover Barkla (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1917)
- 2 Julai - Hermann Hesse (mwandishi Mjerumani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1946)
- 2 Septemba - Frederick Soddy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1921)