Sakuramachi
From Wikipedia
Sakuramachi (1720 – 1750) alikuwa mfalme mkuu wa 115 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Teruhito. Mwaka wa 1735 alimfuata baba yake, Nakamikado, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu mwaka wa 1747. Aliyemfuata ni mwana wake, Momozono.