Wapimbwe

From Wikipedia

Wapimbwe ni kabila kutoka Mkoa wa Rukwa, magharibi ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wapimbwe ilikadiriwa kuwa 29,000 [1]. Lugha yao ni Kipimbwe.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wapimbwe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wapimbwe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine