Wandali
From Wikipedia
Wandali ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Ileje. Pia wako Malawi. Lugha yao ni Kindali.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wandali" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wandali kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |