SI

From Wikipedia

SI ni kifupi chake cha Kifaransa Système International d'unités au Utaratibu wa kimataifa wa vipimo. Msingi wake ni mita unapatikana kwa vipimo vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).

Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.