Henryk Sienkiewicz
From Wikipedia
Henryk Sienkiewicz (5 Mei, 1846 – 15 Novemba, 1916) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Poland. Riwaya zake zilikuwa hupendwa sana na watu wengi. Mwaka wa 1905 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Henryk Sienkiewicz (5 Mei, 1846 – 15 Novemba, 1916) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Poland. Riwaya zake zilikuwa hupendwa sana na watu wengi. Mwaka wa 1905 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.