Wasangu

From Wikipedia

Wasangu ni kabila kutoka eneo la kusini-magharibi ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wasangu ilikadiriwa kuwa 75,000 [1]. Lugha yao ni Kisangu.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wasangu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wasangu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine