Komei

From Wikipedia

Komei (18311867) alikuwa mfalme mkuu wa 121 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Osahito. Mwaka wa 1846 alimfuata baba yake, Ninko, na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni mwana wake Mutsuhito.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Komei" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Komei kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine