Alphonse Laveran
From Wikipedia
Alphonse Laveran (18 Juni, 1845 – 18 Mei, 1922) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ufaransa. Hasa alichunguza virusi visababishavyo magonjwa mbalimbali. Aligundua kirusi kinachosababisha malaria. Mwaka wa 1907 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.