Ivo Andric

From Wikipedia

Ivo Andric
Enlarge
Ivo Andric

Ivo Andric (10 Oktoba, 189213 Machi, 1975) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Yugoslavia. Hasa aliandika riwaya; lugha yake ni KiSerbia. Mwaka wa 1961 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ivo Andric" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ivo Andric kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine