Kondoa (mji)

From Wikipedia

Mji wa Kondoa
Enlarge
Mji wa Kondoa

Mji wa Kondoa ni mji mkuu wa Wilaya ya Kondoa, wilaya mojawapo ya Mkoa wa Dodoma.

Mji ulianza kama kituo cha biashara katika karne ya 19. Msikiti wa kwanza ulijengwa mwaka wa 1885. Mwaka wa 1910, kanisa la kwanza lilijengwa.

Ndani ya wilaya ya Kondoa kuna vijiji zaidi ya 180. Makabila makuu ni Warangi, Wasandawe, Waburunge na Wasi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kondoa (mji)" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kondoa (mji) kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.