Uruguay

From Wikipedia

República Oriental del Uruguay
Jamhuri ya Mashariki ya Uruguay
Flag of Uruguay Nembo ya Uruguay
Bendera Nembo
Wito la taifa: Libertad o Muerte (Uhuru au Mauti)
Wimbo wa taifa: Orientales la Patria o la Tumba!
Lokeshen ya Uruguay
Mji mkuu Montevideo
34°53′ S 56°10′ W
Mji mkubwa nchini Montevideo
Lugha rasmi Kihispania
Serikali
Rais
Jamhuri
Tabaré Vázquez
Uhuru
Ilitangazwa
Ilitambuliwa

25 Agosti 1825
28 Agosti 1828
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
176,215 km² (ya 90)
1.5
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - 2002 sensa
 - Msongamano wa watu
 
3,463,000 (ya 130)
3,399,237
20/km² (ya 186 1)
Fedha Peso ya Uruguay (UYU)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-3)
(UTC-2)
Intaneti TLD .uy
Kodi ya simu +598
Ramani ya Uruguay
Enlarge
Ramani ya Uruguay

Uruguay ni nchi ya Amerika Kusini upande wa mashariki ya bara kando la Atlantiki. Imepakana na Brazil na Argentina. Sehemu kubwa ya mipaka ya nje ni maji  : mdomo mpana wa mto Rio de la Plata uko upande wa kusini-magharibi na Atlantiki upande wa kusini mashariki.

Mji mkuu ni Montevideo wanapoishi nusu ya wakazi wote ya nchi. Uruguay ni kati ya nchi ndogo kabisa za Amerika Kusini pamoja na Surinam.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Uruguay" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Uruguay kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.