Isaac Newton

From Wikipedia

Isaac Newton
Enlarge
Isaac Newton

Isaac Newton (4 Januari, 164231 Machi, 1727) ni mwingereza mwanamahesabu na fizikia anakumbukwa kama mwanasayansi maarufu duniani kutokana na michango yake mbali mbali katika sayansi. Ndiye aliyegundua tawi la calculus na nadharia ya mwendo. Newton alipata shahada yake ya kwanza mwaka 1665 na ile ya uzamili mwaka 1668. Mchango mwingine wa Isaac Newton upo katika nadharia ya mwanga, kuona na jinsi rangi zinavyotokea. Nadharia zake zote aliziweka katika vitendo na kukubalika na ndizo zitumumikazo leo.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Isaac Newton" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Isaac Newton kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.