Uskoti

From Wikipedia

Scotland (Kiingereza)
Alba (Kigaeli)
Bendera ya Uskoti
Bendera Nembo
Wito: Nemo me impune lacessit
(Kilatini: No one provokes me with impunity)
Uskoti katika Ulaya


Uskoti katika Ulaya

Uskoti (kijani cheusi) katika kisiwa cha Britania
Uskoti (kijani cheusi) katika cha Britania (Uingereza)
Lugha Kiingereza, Kigaeli, Kiskoti
Mji mkuu Edinburgh
Mji mkubwa Glasgow
Waziri Mkuu Jack McConnell
Eneo
- Total
- % water

78,782 km²
1.9%
Wakazi
- Jumla (2001)
- msongamano

5,062,011
64/km²
GDP (PPP)
 • Total
 • Per capita
2002 est.
$130 Billioni
$25,546
Pesa Pound sterling (£) (GBP)
Time zone
 - Summer (DST)
GMT (UTC+0)
BST (UTC+1)
Internet TLD .uk
Calling Code 44

Uskoti ni nchi katika Ulaya. Iko kwa kaskazini ya kisiwa cha Britania Kuu ikiwa ni sehemu ya Maungano ya Ufalme wa Uingereza.

Kihistoria Uskoti iliwahi kuwa nchi ya pekee ikaunganishwa chini ya Ufalme wa Uingereza tangu mwaka 1603 BK, tangu 1707 Uskoti haukuwa tena na bunge la pekee lakini ulikuwa na wawakilishi katika bunge la London. Bunge la Uskoti lilirudishwa tena mwaka 1999 linalosimamia mambo ya ndani.


[edit] Picha za Uskoti


[edit] Viungo vya Nje