Frederick Banting

From Wikipedia

Sir Frederick Banting (1891-1941)
Enlarge
Sir Frederick Banting (1891-1941)

Frederick Grant Banting (14 Novemba, 189121 Februari, 1941) alikuwa daktari kutoka nchi ya Kanada. Hasa alichunguza ugonjwa wa usukari, na pamoja na Charles Best aligundua dawa ya insulini. Mwaka wa 1923, pamoja na John Macleod alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba. Mwaka wa 1934 alipewa cheo cha “Sir” cha Uingereza.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Frederick Banting" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Frederick Banting kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.