Sinclair Lewis

From Wikipedia

Sinclair Lewis (7 Februari, 188510 Januari, 1951) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Katika riwaya zake alikosoa jamii ya kimarekani. Mwaka wa 1930 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Sinclair Lewis" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sinclair Lewis kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.