Guyana ya Kifaransa

From Wikipedia

Ramani ya "Guyane" (Guyana ya Kifaransa)
Enlarge
Ramani ya "Guyane" (Guyana ya Kifaransa)

Guyana ya Kifaransa (Kifaransa: Guyane française au pekee Guyane) is eneo la ng'ambo la Ufaransa (département d'outre-mer au DOM) ya Ufaransa katika Amerika Kusini. Imepakana na Brazil na Surinam. Pwani la Bahari ya Karibi (Atlantiki) iko upande wa kaskazini.

Ilikuwa koloni ya Ufaransa imekuwa eneo ambalo sasa ni sehemu kamili ya Ufaransa kisiasa na kisheria. Wakazi ni raia wa Ufaransa. Eneo lina hali ya mkoa (departement) na pia kanda (region) katika Ufaransa. Guyane ni sehemu ya Umoja wa Ulaya pea yake ni Euro.

Makao makuu ya Guyane ni mji wa Cayenne. Idadi ya wakazi imekadiriwa kuwa 200,000 katika mwaka 2006.

Wakazi walio wengi ni wa asili ya Kiafrika au wa mchanganyiko wa Kiafrika-Kizungu. Asilimia 12 ni Wazungu, vilevile 12% Wahindi, wengina Waindio asilia, Wachina na Wahamiaji kutoka Laos.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Guyana ya Kifaransa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Guyana ya Kifaransa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.