Chama Cha Mapinduzi

From Wikipedia

Chama cha Mapinduzi (CCM) ni chama tawala nchini Tanzania. CCM ilizaliwa 5 Februari, 1977 baada ya kuungana kwa vyama vya Tanganyika African National Union (TANU) kilichokuwa kikitawala Tanzania Bara na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar (Tanzania Visiwani). Waasisi wa CCM ni pamoja na Rais wa kwanza wa Tanganyika, Mwalimu Nyerere, Rais wa kwanza wa Zanzibar, Amaan Abeid Karume, Mzee Thabit Kombo, Rashid Kawawa, Bibi Titi Mohammed, na wengineo.

[edit] Viungo vya nje