Philip Hench
From Wikipedia
Philip Showalter Hench (28 Februari, 1896 – 30 Machi, 1965) alikuwa daktari kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya uchunguzi mwingine alichunguza homoni katika gamba la tezi adrenali. Pia alitafiti kutibu ugonjwa wa baridi yabisi (arthritis). Mwaka wa 1950, pamoja na Edward Kendall na Tadeus Reichstein alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.