Papa Pius XII

From Wikipedia

Pius XII.
Enlarge
Pius XII.

Papa Pius XII (2 Machi 1876 – 9 Oktoba 1958) alikuwa Papa kuanzia 2 Machi, 1939 hadi kifo chake. Alitoka nchi ya Italia. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Eugenio Maria Guiseppe Giovanni Pacelli. Alivishwa taji 12 Machi 1939.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Papa Pius XII" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Papa Pius XII kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.