Wamwera

From Wikipedia

Wamwera ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Lindi, hasa kwenye Wilaya ya Nachingwea. Lugha yao ni Kimwera.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wamwera" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wamwera kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine