Wapimbwe
From Wikipedia
Wapimbwe ni kabila kutoka Mkoa wa Rukwa, magharibi ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wapimbwe ilikadiriwa kuwa 29,000 [1]. Lugha yao ni Kipimbwe.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wapimbwe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wapimbwe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |