Wawanda
From Wikipedia
Wawanda ni kabila kutoka kusini-magharibi ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wawanda ilikadiriwa kuwa 24,000 [1]. Lugha yao ni Kiwanda.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wawanda" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wawanda kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |