John Enders

From Wikipedia

John Franklin Enders (10 Februari, 18978 Septemba, 1985) alikuwa daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza virusi visababishavyo magonjwa mbalimbali. Mwaka wa 1954, pamoja na Frederick Robbins na Thomas Weller alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Enders" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Enders kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.