Azori
From Wikipedia
|
|||||
Wito la taifa: Antes morrer livres que em paz sujeitos (Heri kufa huru kuliko amani ya utumwa) |
|||||
Wimbo wa taifa: A Portuguesa (kitaifa) Hino dos Açores (kijimbo) |
|||||
![]() |
|||||
Mji mkuu | Ponta Delgada (Serikali ya kijimbo) Angra do Heroísmo (mahakama kuu)1 Horta (Bunge la Jimbo)2 |
||||
Mji mkubwa nchini | Ponta Delgada | ||||
Lugha rasmi | Kireno | ||||
Serikali
Rais
|
Jimbo la kujitawala Carlos César |
||||
Kukaliwa na watu Jimbo la kujitawala |
1976 |
||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
2,333 km² ( ) |
||||
Idadi ya watu - 2001 kadirio - Msongamano wa watu |
241,763 ( ) 104/km² ( ) |
||||
Fedha | Euro (€)3 (EUR ) |
||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
UTC-1 (UTC) UTC in EST (UTC) |
||||
Intaneti TLD | .pt | ||||
Kodi ya simu | +351 |
||||
1Angra do Heroísmo: 38º 39' N 27º 13' W 2Horta: 38º 32' N 28º 38' W 3Kabla ya 2002: Escudo ya Ureno |
Azori (kireno: Ilhas dos Açores - Visiwa vya vipanga) ni funguvisiwa ya Ureno ya visiwa tisa kubwa na vidogo vingine katika Atlantiki takriban 1,500 km magharibi ya Ulaya na 3,600 km mashariki ya Amerika ya Kaskazini.
Ni jimbo la kujitawala la Ureno (Região Autónoma dos Açores) na sehemu ya Umoja wa Ulaya.
Visiwa vyote ni vya asili ya kivolkeno hali halisi ni vilele vya milima mirefu sana vinavyotoka nje ya maji kutoka msingi wa bahari. Milima hii ya kivolkeni ni sehemu ya mgongo kati wa Atlantiki yanapokutana mabamba ya gandunia ya Amerika ya Kaskazini na Afrika.
Mlima wa Pico kwenye kisiwa cha Pico ni mlima mrefu wa Ureno mwenye kimo cha 2,351 m juu ya UB.
Visiwa viligunduliwa na mabaharia Wareno mwaka 1427 vilipatikana bila wanadamu. Wakazi wa kwanza walifika kutoka Ureno mwaka 1439 wakaunda
Visiwa vikubwa zaidi vya fungukisiwa ya Azori | |
---|---|
Kisiwa | Eneo (km²) |
São Miguel | 759 |
Pico | 446 |
Terceira | 403 |
São Jorge | 246 |
Faial | 173 |
Flores | 143 |
Santa Maria | 97 |
Graciosa | 62 |
Corvo | 17 |