Imre Kertész

From Wikipedia

Imre Kertesz (amezaliwa 9 Novemba, 1929) ni mwandishi kutoka nchi ya Hungaria. Hasa ameandika riwaya kuhusu maisha ya Wayahudi wakati wa ukatili wa WaNazi. Mwaka wa 2002 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Imre Kertész" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Imre Kertész kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine