Cosmas Mtakatifu

From Wikipedia

Cosmas Mtakatifu (alifariki takriban 303) alikuwa daktari katika maeneo ya Uturuki. Pia alikuwa kaka ya Damian Mtakatifu. Hali ya maisha na kifo chake haijulikani kwa uhakika. Sikukuu yake ni 27 Septemba. Takriban mwaka wa 530, Papa Felix IV alijenga kanisa katika mji wa Roma ili kuwaheshimu Cosmas na Damian Watakatifu.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Cosmas Mtakatifu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Cosmas Mtakatifu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine