Herman Wouk

From Wikipedia

Herman Wouk (amezaliwa 27 Mei, 1915) ni mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa riwaya zake zinazoeleza hali ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Pulitzer.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Herman Wouk" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Herman Wouk kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.