1494
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 5 Septemba - Mkataba wa Tordesillas: Hispania na Ureno chini ya uongozi wa Papa Alexander VI zapatana ugawajai wa dunia kati yao
- 9 Novemba - Akina de Medici wanaanza kuwa watawala wa mji wa Florence.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki