1066
From Wikipedia
[edit] Matukio
Ulaya - Uingereza:
- 25 Septemba - Mapigano kwa daraja la Stamford (Uingereza): Mfalme Harold wa Uingereza anazuia jaribio la Wanorway la kuvamia Uingereza. Jeshi la Uingereza laelekea mara moja kwa mbio kusini dhidi ya Wanormandy.
- 14 Oktoba - Mapigano ya Hastings; jeshi lililochoka la Uingereza linashindwa na Wanormandy chini ya William Mshindi. Uingereza unatekwa na Wanormandy.
- 25 Desemba - William Mshindi wa Normandy anapokea cheo cha mfalme wa Uingereza.
Afrika:
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 5 Januari - Edward Muungamaji (Mfalme wa Uingereza, na Mtakatifu)
- 25 Septemba - Mfalme Harald III wa Norway kwenye mapigano kwa daraja la Stamford
- 14 Oktoba - Mfalme Harold wa Uingereza kwenye mapigano ya Hastings