Douala

From Wikipedia

Sanamu ya Uhuru katika Douala
Enlarge
Sanamu ya Uhuru katika Douala
Douala katika Kamerun
Enlarge
Douala katika Kamerun

Douala ni mji mkubwa wa Kamerun ikiwa na wakazi 1,338,144 (2005). Iko 24 km kutoka bahari kwenye mdomo pana wa mto Wouri unaokwisha kwenye Ghuba ya Guinea ya Atlantiki. Bandari yake inaifanya kuwa kitovu wa kiuchumi wa nchi.

Wakati wa ukoloni wa Kijerumani ilikuwa mji mkuu wa Kamerun.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Douala" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Douala kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.