Pluto
From Wikipedia
Pluto ilikuwa ikitambulika kama sayari ya tisa katika mfumo wa jua na sayari zake toka mwaka 1930 hadi Agosti 2006. Chama chenye mamlaka juu ya masuala ya sayansi ya falaki, International Astronomical Union, kimeiondoa Pluto katika orodha ya sayari. Badala yake wameiita sayari kibeti. Hata hivyo baadhi ya wanasayansi wa falaki wamepinga uamuzi huo na wameanzisha kampeni ya kupinga uamuzi huo.
[edit] Viungo vya nje
- Tovuti ya kampeni ya kupinga Pluto kuitwa sayari mbilikimo
- Habari kuhusu wanasayansi wanaotaka Pluto iendelee kutambuliwa kama sayari
- Habari kuhusu Pluto kuondolewa kwenye orodha ya sayari
- Tovuti ya International Astronomical Union
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Pluto" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Pluto kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |