Woodrow Wilson
From Wikipedia
Thomas Woodrow Wilson (28 Desemba, 1856 – 3 Februari, 1924) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Miaka ya 1913 hadi 1921 alikuwa Rais wa Marekani. Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.
Thomas Woodrow Wilson (28 Desemba, 1856 – 3 Februari, 1924) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Miaka ya 1913 hadi 1921 alikuwa Rais wa Marekani. Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.