Wamachinga

From Wikipedia

Wamachinga ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Lindi, wilaya za Kilwa na Lindi. Lugha yao ni Kimachinga.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wamachinga" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wamachinga kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine