1912
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 28 Mei - Patrick White (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1973)
[edit] Waliofariki
- 12 Juni - Frederic Passy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1901)
- 30 Juni - Mutsuhito (Meiji), Mfalme Mkuu wa Japani
- 6 Oktoba - Auguste Beernaert (mwanasiasa Mbelgiji na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1909)