1844
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 16 Aprili - Anatole France (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1921)
- 7 Julai - Camillo Golgi (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1906)
- 27 Oktoba - Klas Pontus Arnoldson (mwanasiasa Msweden, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1908)
- 25 Novemba - Karl Friedrich Benz (mhandisi Mjerumani na mtengenezaji motokaa)