Wakimbu
From Wikipedia
Wakimbu ni kabila la Tanzania wanaoishi mpakani mwa mikoa mitatu, yaani Mkoa wa Tabora, Mkoa wa Singida na Mkoa wa Mbeya, hasa kwenye Wilaya ya Sikonge, Wilaya ya Manyoni na Wilaya ya Chunya. Lugha yao ni Kikimbu.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wakimbu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wakimbu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |