Kanada

From Wikipedia

Canada
Flag of Canada Nembo ya Canada
Bendera Nembo
Wito la taifa: Kilatini: A Mari Usque Ad Mare
("Bahari hadi bahari")
Wimbo wa taifa: "O Canada"
Wimbo wa kifalme: "God Save the Queen"
Lokeshen ya Canada
Mji mkuu Ottawa
45°24′ N 75°40′ W
Mji mkubwa nchini Toronto
Lugha rasmi Kiingereza, Kifaransa
Serikali

Mfalme (malkia)
Gavana Mkuu
Waziri mkuu
Ufalme, shirikisho,
demokrasia
Malkia Elizabeth II
Michaëlle Jean
Stephen Harper
Uhuru
Sheria ya 1867
Mkataba wa Westminster
Sheria kuhusu Kanada

1 Julai 1867
11 Desemba 1931
17 Aprili 1982
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
9,984,670 km² (ya 2)
8.92 (891,163 km²)
Idadi ya watu
 - 2006 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
32,623,490 (ya 36)
30,007,094
3.2/km² (ya 219)
Fedha Dollar ya Kanada ($) (
CAD
)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-3.5 to -8)
(UTC-2.5 to -7)
Intaneti TLD .ca
Kodi ya simu +1

Kanada ni nchi kubwa ya Amerika ya Kaskazini. Mji mkuu ni Ottawa. Ni nchi kubwa duniani baada ya Urusi lakini idadi wa wakazi ni milioni 32 tu.

[edit] Jiografia

Kanada ni nchi kubwa sana lakini maeneo mengi ni baridi mno hawana watu. Pwani la Kanada ni ndefu kushinda nchi zote za dunia ikipakana na Atlantiki, Pasifiki na Bahari ya Aktika.

Jumla ya wakazi milioni 32 huishi katika majimbo 10 na maeneo matatu ya kitaifa.

Katika eno la 9,984,670 km² ni 9,093,507 km² nchi kavu na 891,163 km² maji. Umbali kutoka Rasi Columbia kwenye kisiwa cha Ellesmere katika kaskazini hadi kisiwa cha kisiwa cha Middle Island katika ziwa la Erie jimboni Ontaria ni 4,634 km.

Umbali kutoka Rasi Spear katika Newfoundland upande wa mashariki hadi mpaka na Alaska upande wa magharibi ni 5,514 km.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Kanada" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Kanada kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.