Bloemfontein

From Wikipedia

Bloemfontein wakati wa usiku
Enlarge
Bloemfontein wakati wa usiku
Bloemfontein wakati wa mchana
Enlarge
Bloemfontein wakati wa mchana
Bunge la Vrystaat (1893) pamoja na sanamu ya jenerali ya Makaburu Christiaan de Wet
Enlarge
Bunge la Vrystaat (1893) pamoja na sanamu ya jenerali ya Makaburu Christiaan de Wet

Bloemfontein (tamka: "Blumfontain" - Kiholanzi/Kiafrikaans "chemchemi ya maua") ni kati ya miji mikuu mitatu ya Afrika Kusini pamoja na Pretoria na Cape Town. Jina la Kisotho ni Mangaung linalomaanisha "kwa duma". Bloemfountain ni makao ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini pia mju mkuu wa mkoa wa Vrystaat (au: Free State - "Jamhuri huru").

Mji uko kwenye uwanja wa juu wenye kimo cha 1,395 m juu ya UB.

Mji mwenyewe una takriban wakazi 500,000. Kuna mji wa pili pamoja nao wa Mangaung wa wakazi 650,000 uliojengwa wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi kwa ajili ya watu weusi.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bloemfontein" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bloemfontein kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.