333 KK
From Wikipedia
Contents |
[edit] Matukio
[edit] Ugiriki wa Kale / Uajemi
- Aleksander Mkuu anaendelea na vita katika Anatolia dhidi ya Uajemi. Anafungua fundo la Gordion kwa kuikata.
- Novemba - Mapigano ya Issos, Aleksander anashinda jeshi la Mfalme Mkuu Darius III wa Uajemi. Mfalme anakimbia lakini mke na watoto wake wanakamatwa na Wagiriki.
[edit] Roma ya Kale
- Publius Cornelius Rufinus anachaguliwa kuwa dikteta wa jamhuri ya Roma.
[edit] Waliozaliwa
- Zenon wa Kition ni mwanafalsafa Mgiriki na mwanzisilishaji wa falsafa ya stoa († 264 KK)
[edit] Waliofariki
- Memnon wa Rhodos aliyekuwa jemadari Mgiriki wa kukudoshwa