Mauriti
From Wikipedia
|
|||||
Hadabu ya Taifa: Stella Clavisque Maris Indici (Latino: Nyota na Kifunguo cha Bahari Hindi) |
|||||
![]() |
|||||
Lugha za Taifa | =Kingereza; Kifaransa :Kifaransa Kriole |
||||
Mji Mkuu | Port louis (pandari louis) | ||||
Rais Waziri Mkuu |
Bwana Anerood Jugnauth Daktari Navinchandra Ramgoolam |
||||
Eneo - Jumla - 0.05% Maji |
Kadiriwa 169 duni 2060 km² |
||||
Umma - Kadiriwa (mwaka wa julai 20005 ) - Jumla (1,230,602 ) - Umma kugawa na Eneo 602 |
Kadiriwa 155 duni ; ([[Orotha ya nchi kulingana na eneo kwa umma|11 duni]) |
||||
Chumo cha uchumi - Jumla - kwa kipimo cha umma |
$16.36 billioni (ranki 123) $13,300 (ranki 70) |
||||
Uhuru - Kadirifu - Barabara |
Madaraka) Machi 12, 1968kutoka Wingereza |
||||
Fedha | Rupee | ||||
Kodi za fedha | MUR | ||||
Saa za Eneo | UTC +4 | ||||
Wimbo wa Taifa | Nchi ya mama | ||||
Intaneti TLD | .mu | ||||
kodi za simu | 230 | ||||
1Lugha ya Mauriti kriole ama Kifaransa kriole ni Kifaransa ambacho kimekorofishwa na lugha ya malesia, kihindi na lugha zaidi za wenyeji, lugha hii haijatiwa umaakini kama Lugha rasmi. |
Jamhuri ya Mauriti /mɔˈɹɪʃəs/ (Kifaransa: République de Maurice, ya tamkwa/mɔʀis/) ni Nchi kiziwa kusini mashariki mwa Afrika kati ya Bahari Hindi, na pia kilomita 900 (560 mi) mashariki mwa Madagaska na kilomita 3,943 (2,450 mi) kusini magharibi mwa India. Hasa waeza kusema Jamhuri ya mauriti ni visiwa, kama St. Brandon, Rodrigues na kisiwa cha Agalega . Mauriti ni mojawapo ya visiwa vya Maskareni, na kisiwa cha Ufaransa cha Réunion kilomita 200(125 mi) kusini magharibi.
[edit] Ona pia
- Muziki ya Mauritius