Watemi
From Wikipedia
Watemi ni kabila kutoka eneo la Arusha, nchini Tanzania, karibu na mpaka wa Kenya. Mwaka 2002 idadi ya Watemi ilikadiriwa kuwa 30,000 [1]. Lugha yao ni Kitemi.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Watemi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Watemi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |