Jacinto Benavente

From Wikipedia

Jacinto Benavente (12 Agosti, 186614 Julai, 1954) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Hispania. Hasa aliandika tamthiliya. Mwaka wa 1922 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Jacinto Benavente" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Jacinto Benavente kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.