Gabriel García Márquez

From Wikipedia

Gabriel García Márquez (amezaliwa 6 Machi, 1928) ni mwandishi kutoka nchi ya Kolombia na kufanya kazi kama mwandishi wa habari katika nchi mbalimbali za Amerika na Ulaya. Anajulikana hasa kwa riwaya zake, kwa mfano "Upendo wakati wa Kipindupindu" (kwa Kihispania El amor en los tiempos del cólera) iliyotolewa mwaka wa 1985. Mwaka wa 1982 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Gabriel García Márquez" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Gabriel García Márquez kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine