William Shockley

From Wikipedia

William Bradford Shockley (13 Februari, 191012 Agosti, 1989) alikuwa mhandisi na mwalimu kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza mambo ya umeme na kuvumbua transista. Mwaka wa 1956, pamoja na John Bardeen na Walter Brattain alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "William Shockley" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu William Shockley kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.