Wasizaki

From Wikipedia

Wasizaki ni kabila kutoka kaskazini-magharibi ya nchi ya Tanzania, karibu na Ziwa Viktoria. Mwaka 1987 idadi ya Wasizaki ilikadiriwa kuwa 82,000 [1]. Lugha yao ni Kisizaki.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wasizaki" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wasizaki kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine