Andre Cournand

From Wikipedia

André Frédéric Cournand (24 Septemba, 189519 Februari, 1988) alikuwa daktari na mwanafiziolojia kutoka nchi ya Ufaransa; alihamia Marekani baadaye. Hasa alichunguza magonjwa ya moyo na tiba zake. Mwaka wa 1956, pamoja na Werner Forssmann na Dickinson Richards alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Andre Cournand" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Andre Cournand kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine