Eugene O'Neill
From Wikipedia
Eugene Gladstone O'Neill (16 Oktoba, 1888 – 27 Novemba, 1953) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Hasa aliandika tamthiliya. Mwaka wa 1936 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Eugene Gladstone O'Neill (16 Oktoba, 1888 – 27 Novemba, 1953) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Hasa aliandika tamthiliya. Mwaka wa 1936 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.