Ghuba
From Wikipedia
Ghuba ni hori kubwa ya bahari inayopakana na nchi kavu pande mbili au tatu.
Mara nyingi ghuba hutokea kutokana na misogeo ya ganda la dunia inayosababisha maji kujaa nafasi iliyojitokeza.
Ghuba zinazojulikana ni kama vile Ghuba ya Guinea, Ghuba ya Uajemi, Ghuba ya Mexiko au Bahari ya Shamu.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Ghuba" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Ghuba kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |