Abbai

From Wikipedia

Maporomoko ya Tis Isat kwenye mto wa Abbai (Nile ya buluu)
Maporomoko ya "Tis Isat" karibu na Bahar Dar/ Ziwa Tana
Enlarge
Maporomoko ya "Tis Isat" karibu na Bahar Dar/ Ziwa Tana
Mto wa Abbai (Nile ya buluu)
Jina: Abbai (ndani ya Ethiopia)
Mahali: Nyanda za juu za Ethiopia
Urefu: 800 km ndani ya Ethiopia
Chanzo: Ziwa Tana
Kimo cha chanzo: 1.800 juu ya UB
Mdomo: inaendelea kama Nile ya buluu
Kimo cha mdomo:
Tofauti ya kimo:
Tawimito ya kulia:
Tawimito ya kushoto:
Mijo mikubwa mtoni:
Je inafaa kama njia ya maji?

Abbai (Mto mkubwa, pia Abay au Abai) ni mto mkubwa kabisa katika Ethiopia. Ndiyo sehemu ya juu ya Nile ya Buluu na tawimto mkubwa kabisa wa mto Nile. Baada ya kutoka Ethiopia na kuingia Sudan inaitwa kwa (Kiarabu: النيل الأزرق; an-nīl al-azraq).

Mwendo wa Abbai na Nile ya Buluu
Enlarge
Mwendo wa Abbai na Nile ya Buluu

Ina chanzo chake kwenye kimo cha mita 1800 juu ya UB inapotoka katika Ziwa Tana katika nyanda za juu za Ethiopia. Kwanza inaelekea kusini-mashariki lakini inabadilika mwelekeo kwenda magharibi halafu kaskazini.

Waethiopia wengi wanasemekana kuitazama kama mto mtakatifu.

Lugha nyingine