Wafipa

From Wikipedia

Wafipa ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Rukwa, hasa katika wilaya za Sumbawanga na Nkansi. Lugha yao ni Kifipa.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wafipa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wafipa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine