Wabembe

From Wikipedia

Wabembe ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Kigoma, Wilaya ya Kigoma Vijijini. Lugha yao ni Kibembe.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wabembe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wabembe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine