Wakaguru
From Wikipedia
Wakaguru ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Kilosa. Lugha yao ni Kikaguru.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wakaguru" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wakaguru kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |