1817
From Wikipedia
[edit] Matukio
- Shaka Zulu anawashinda Wandandwe kwenye mapigano ya kilima cha Gqokli (eneo la Afrika Kusini) akitumia mbinu za kijeshi alizozijifunza alipokuwa chini ya Dingiswayo.
[edit] Waliozaliwa
- 30 Novemba - Theodor Mommsen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1902)
[edit] Waliofariki
- Dingiswayo kiongozi wa Wamthethwa katika eneo la Afrika Kusini ya leo anauawa na Wandandwe vitani.