Saint-Denis (Reunion)

From Wikipedia

Kitovu cha Saint-Denis na misikiti ya Noor-e-Islam
Enlarge
Kitovu cha Saint-Denis na misikiti ya Noor-e-Islam
Localisation de Saint-Denis.
Enlarge
Localisation de Saint-Denis.
Nyumba ya manisipaa na nguzo ya ushindi
Enlarge
Nyumba ya manisipaa na nguzo ya ushindi

Saint-Denis (au Saint-Denis de la Réunion) ni mji mkuu wa eneo la ng’ambo la Ufaransa (yajulikana kwa Kifaransa kama "département d'outre-mer") la Réunion ambayo ni kisiwa kimoja cha funguvisiwa ya Maskarena katika Bahari Hindi.

Saint-Denis ni pia mji mkubwa wa kisiwa ikiwa na wakazi 131,557 (mwaka 1999).

[edit] Historia

Saint-Denis ilianzishwa na Mfaransa Étienne Régnault mnamo mwaka 1669 ikawa mji mkuu wa kisiwa mwaka 1738.

[edit] Usafiri

Kuna kiwanja cha ndege cha Aéroport de la Réunion Roland Garros ambayo ni geti ya kisiwa kwa safari za kimatifa. Bandari kuu ya kisiwa iko Pointe-des-Galets nje ya mji.


[edit] Viungo vya nje

Lugha nyingine