Philip Hench

From Wikipedia

Philip Showalter Hench (28 Februari, 189630 Machi, 1965) alikuwa daktari kutoka nchi ya Marekani. Baadhi ya uchunguzi mwingine alichunguza homoni katika gamba la tezi adrenali. Pia alitafiti kutibu ugonjwa wa baridi yabisi (arthritis). Mwaka wa 1950, pamoja na Edward Kendall na Tadeus Reichstein alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Philip Hench" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Philip Hench kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.