Guatemala

From Wikipedia

República de Guatemala
Jamhuri ya Guatemala
Flag of Guatemala Nembo ya Guatemala
Bendera Nembo
Wito la taifa: Kihisoania: El País de la Eterna Primavera
(maana yake: "Nchi ya Kivuli cha Milele")
Wimbo wa taifa: Himno Nacional de Guatemala
Lokeshen ya Guatemala
Mji mkuu Guatemala City
14°38′ N 90°33′ W
Mji mkubwa nchini Guatemala City
Lugha rasmi Kihispania (rasmi)
(lugha za asili 23 zimetambuliwa rasmi lakini mambo yote huendeshwa kwa Kihispania)
Serikali
Rais
Jamhuri ya kirais
Óscar Berger
Uhuru
Tarehe
Kutoka Hispania
Septemba 15, 1821
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
108,890 km² (106th)
0.4
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
12,800,000 (70th)
134.6/km² (85th)
Fedha Quetzal (GTQ)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-6)
(UTC)
Intaneti TLD .gt
Kodi ya simu +502

Guatemala ni nchi ya Amerika ya Kati. Inapakana na Bahari ya Pasifiki upande wa Magharibi, na Atlantiki upande wa Mashariki, tena na nchi za Mexiko, Belize, Honduras na El Salvador.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Guatemala" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Guatemala kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.