1964
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 26 Aprili - Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
- 6 Julai - Nchi ya Malawi inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 24 Oktoba - Nchi ya Zambia inapata uhuru kutoka Uingereza.
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 24 Aprili - Gerhard Domagk (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1939)
- 3 Juni - Frans Eemil Sillanpää (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1939)