Wabende

From Wikipedia

Wabende ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Rukwa, Wilaya ya Mpanda. Lugha yao ni Kibende. Mwaka 1999 idadi ya Wabende ilikadiriwa kuwa 27,000 [1].

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wabende" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wabende kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine