Bela Bartok

From Wikipedia

Bela Bartok (25 Machi, 188126 Septemba, 1945) alikuwa mtungaji wa muziki kutoka nchi ya Hungaria. Alichunguza na kukusanya nyimbo za jadi kutoka maeneo yapakanayo na mto wa Danube.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bela Bartok" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bela Bartok kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.