Joseph Erlanger

From Wikipedia

Joseph Erlanger (5 Januari, 18745 Desemba, 1965) alikuwa daktari na mwanafiziolojia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza elimu ya neva. Mwaka wa 1944, pamoja na Herbert Spencer Gasser alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Joseph Erlanger" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Joseph Erlanger kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.