Victoria (Shelisheli)
From Wikipedia
Victoria ni mji mkuu wa Shelisheli. Iko kwenye kisiwa cha Mahe ikiwa na wakazi 24,702. Ni mji mkuu mdogo kabisa wa nchi zote za dunia.
Bandari ya Victoria ni kitovu cha biashara ya kimataifa cha nchi.
Victoria ni mji mkuu wa Shelisheli. Iko kwenye kisiwa cha Mahe ikiwa na wakazi 24,702. Ni mji mkuu mdogo kabisa wa nchi zote za dunia.
Bandari ya Victoria ni kitovu cha biashara ya kimataifa cha nchi.