Waisanzu
From Wikipedia
Waisanzu ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Singida, Wilaya ya Iramba. Lugha yao ni Kiisanzu.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Waisanzu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Waisanzu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |