Miguel Ángel Asturias
From Wikipedia
Miguel Ángel Asturias (19 Oktoba, 1899 – 9 Juni, 1974) alikuwa mwandishi na mwanasiasa kutoka nchi ya Guatemala. Hasa aliandika mashairi na riwaya. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Miguel Ángel Asturias (19 Oktoba, 1899 – 9 Juni, 1974) alikuwa mwandishi na mwanasiasa kutoka nchi ya Guatemala. Hasa aliandika mashairi na riwaya. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.