9 Juni

From Wikipedia

Mei - Juni - Jul
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30
Kalenda ya Gregori

[edit] Matukio

  • 68 - Kaisari wa Roma, Nero anajiua.
  • 1534 - Jacques Cartier ni Mzungu wa kwanza kugundua mto wa St. Lawrence.
  • 1815 - Mwisho wa Mkutano wa Vienna uliorekebisha hali ya siasa ya Ulaya.
  • 1856 - Wamormoni 500 wanatoka mji wa Iowa City katika jimbo la Iowa na kuelekea magharibi kwenda mji wa Salt Lake City katika jimbo la Utah wakibeba mali zao zote kwenye mikokoteni.

[edit] Waliozaliwa

[edit] Waliofariki