Talk:Amaan Abeid Karume

From Wikipedia

Kuna shida na makala kuhusu rais wa Zanzibar kwa vile Sheikh Amani Abeid Karume alikuwa rais wa kwanza wa Zanzibar lakini mtoto wake ni rais wa Zanzibar sasa hivi. Hata hivyo kurasa zote mbili zinataja rais wa kwanza tu. Tufanyaje? --Oliver Stegen 19:29, 29 Septemba 2006 (UTC)

Samahani. Nilisahau kutaja makala nyingine: Abedi Amani Karume. --Oliver