Wasafwa
From Wikipedia
Wasafwa ni kabila kutoka eneo la milima ya mkoa wa Mbeya, nchini Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wasafwa ilikadiriwa kuwa 158,000 [1]. Wako hasa katika wilaya za Mbeya vijijini, Mbozi na Chunya kwenye safu za milima ya Mbeya na Uporoto. Lugha yao ni Kisafwa.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wasafwa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wasafwa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |