Walter Brattain

From Wikipedia

Walter Houser Brattain (10 Februari, 190213 Oktoba, 1987) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza uhandisi wa umeme na kuvumbua transista. Mwaka wa 1956, pamoja na William Shockley na John Bardeen alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Walter Brattain" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Walter Brattain kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.