James Chadwick
From Wikipedia
James Chadwick (20 Oktoba, 1891 – 23 Julai, 1974) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Aligundua na kuchunguza nutroni. Mwaka wa 1935 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
James Chadwick (20 Oktoba, 1891 – 23 Julai, 1974) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Aligundua na kuchunguza nutroni. Mwaka wa 1935 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.