Momozono

From Wikipedia

Momozono (17411762) alikuwa mfalme mkuu wa 116 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Toohito. Mwaka wa 1747 alimfuata baba yake, Sakuramachi, na kuwa mfalme hadi kifo chake. Aliyemfuata ni dada yake, Go-Sakuramachi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Momozono" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Momozono kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine