Wandonde
From Wikipedia
Wandonde ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Lindi, Wilaya ya Nachingwea. Lugha yao ni Kindonde.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wandonde" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wandonde kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |