Hans Krebs

From Wikipedia

Hans Adolf Krebs (25 Agosti, 190022 Novemba, 1981) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Mwaka wa 1933, kwa vile wazazi wake walikuwa Wayahudi alilazimishwa kuhamia Uingereza. Hasa alichunguza athari za kikemia ndani ya chembe hai. Mwaka wa 1953, pamoja na Fritz Lipmann alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba. Mwaka wa 1958 alipewa cheo cha “Sir” cha Uingereza.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Hans Krebs" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Hans Krebs kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.