John Locke

From Wikipedia

John Locke (Marekani) alikuwa mwanafalsafa aliyetoa nadharia ya "Mkataba Jamii": mkataba huu unahusisha watawala na watawaliwa ambapo watawaliwa huwapa watawala madaraka ya kuongoza kwa kufuata matakwa ya watawaliwa. Nadharia hii ilisaidia kwa kiwango kikubwa kujengwa kwa taifa la Marekani kutoka katika utawala wa Kifalme uliokuwa chini ya Uingereza.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Locke" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Locke kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.