Igor Tamm

From Wikipedia

Igor Yevgenyevich Tamm (8 Julai, 189512 Aprili, 1971) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Hasa alichunguza uhusiano kati ya elektroni na nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Pavel Cherenkov na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Igor Tamm" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Igor Tamm kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.