Bruce Lee

From Wikipedia

Sanamu ya Bruce Lee huko Hong Kong
Enlarge
Sanamu ya Bruce Lee huko Hong Kong

Bruce Jun Fan Lee (anajulikana zaidi kwa jina la Bruce Lee) alikuwa mtaalamu wa sanaa ya upambanaji ya asili ya China kama vile Kung Fu. Staili yake aliyokuwa akitumia aliita Jun Fan Gung Fu. Alikuwa pia mcheza sinema mahiri. Bruce Lee alizaliwa Novemba 27, 1940 nchini Marekani na kufariki dunia Julai 20, 1973. Kati ya sinema zilizompatia sifa na umaarufu mkubwa duniani ni ile ya Enter the Dragon.

[edit] Viungo vya nje


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bruce Lee" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bruce Lee kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.