1930
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 23 Januari - Derek Walcott (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1992)
- 10 Oktoba - Harold Pinter (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 2005)
[edit] Waliofariki
- 2 Aprili - Zauditu, Malkia mtawala wa Uhabeshi
- 13 Mei - Fridtjof Nansen (mpelelezi na mwanasiasa Mnorwei na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1922)
- 28 Julai - Allvar Gullstrand (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1911)
- 13 Desemba - Fritz Pregl (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1923)