André Gide

From Wikipedia

André Gide (22 Novemba, 186919 Februari, 1951) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ufaransa. Mada za maandiko yake ni pamoja na kumtafuta Mungu, shajara za maisha yake, na ushoga. Tawasifu yake "Punje ya Ngano Isipokufa ..." (kwa Kifaransa Si le grain ne meurt ...) ilitolewa mwaka wa 1926. Mwaka wa 1947 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "André Gide" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu André Gide kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine