Gertrude Mongella

From Wikipedia

Gertrude Ibengwe Mongella ni rais wa Bunge la Umoja wa Afrika. Mongella alizaliwa Ukerewe, Mwanza, nchini Tanzania mwaka 1945. Mongella alikuwa Katibu Mkuu wa Mkutano wa Nne wa Umoja wa Mataifa wa Wanawake uliofanyika Beijing, China mwaka 1995.

[edit] Viungo vya nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Gertrude Mongella" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Gertrude Mongella kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.