Wadhaiso
From Wikipedia
Wadhaiso ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Tanga, katika vijiji viwili tu vya Wilaya ya Muheza. Lugha yao ni Kidhaiso.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wadhaiso" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wadhaiso kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |