Waswahili

From Wikipedia

Waswahili ni kabila kutoka pwani ya Bahari Hindi ya nchi za Kenya na Tanzania.

Pia, ni kawaida kuwaita wasemaji wa Kiswahili Waswahili hata kama ni wenyeji wa makabila mengine.

"Mswahili" ni pia namna ya kumtaja mtu mjanja kwa lugha ya mzaha.


Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Waswahili" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Waswahili kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine