Herbert Spencer Gasser

From Wikipedia

Herbert Spencer Gasser (5 Julai, 188811 Mei, 1963) alikuwa mwanafiziolojia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza na kugundua kazi za neva mwilini. Mwaka wa 1944, pamoja na Joseph Erlanger alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Herbert Spencer Gasser" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Herbert Spencer Gasser kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.