Antoine Henri Becquerel

From Wikipedia

Medali ya Tuzo Nobel
Henri Becquerel
Enlarge
Henri Becquerel

Antoine Henri Becquerel (15 Desemba, 185225 Agosti, 1908) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ufaransa. Mwaka wa 1896 aligundua mionzi nururishi. Mwaka wa 1903, pamoja na Pierre na Marie Curie alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Antoine Henri Becquerel" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Antoine Henri Becquerel kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.