Mchuzi
From Wikipedia
Mchuzi ni kitoweo cha maji maji kinachopikwa kwa kuchanganya nyama au samaki nk, pamoja na viungo kama vile binzari, vitunguu, mafuta, chumvi na nyanya.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Mchuzi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Mchuzi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |