Emilio Segre

From Wikipedia

Emilio Segre (1 Februari, 190522 Aprili, 1989) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Italia. Mwaka wa 1938 alihamia Marekani. Hasa alifanya utafiti wa fizikia ya kiini. Mwaka wa 1959, pamoja na Owen Chamberlain alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Emilio Segre" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Emilio Segre kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.