Austen Chamberlain

From Wikipedia

Austen Chamberlain (16 Oktoba, 186316 Machi, 1937) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Uingereza. Kuanzia 1924 hadi 1929 alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Mwaka wa 1925, pamoja na Charles Dawes alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani kwa ajili ya kazi yake ya kupitisha Maafikiano ya Lokarno.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Austen Chamberlain" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Austen Chamberlain kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.