1853
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 18 Julai - Hendrik Antoon Lorentz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1902)
- 2 Septemba - Wilhelm Ostwald (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1909)
- 16 Septemba - Albrecht Kossel (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1910)
- 21 Septemba - Heike Kamerlingh Onnes (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1913)