Mikael Agricola

From Wikipedia

Sanamu ya Mikael Agricola kwenye Kanisa Kuu la Turku, Ufini.
Enlarge
Sanamu ya Mikael Agricola kwenye Kanisa Kuu la Turku, Ufini.

Mikael Agricola (takriban 1509 – 9 Aprili, 1557) alikuwa mwanateolojia katika nchi ya Ufini. Alikuwa mwanafunzi wa Martin Luther na Philipp Melanchthon na baadaye alileta mabadiliko ya kanisa kule Finland. Pia alianzisha fasihi katika lugha ya Kifini na kutafsiri Agano Jipya.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Mikael Agricola" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mikael Agricola kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.