1925
From Wikipedia
[edit] Matukio
[edit] Waliozaliwa
- 20 Januari - Ernesto Cardenal
- 8 Mei - Ali Hassan Mwinyi
- 19 Mei - Malcolm X
- 23 Mei - Joshua Lederberg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958)
- 11 Juni - William Styron (mwandishi Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1968)
- 2 Julai - Patrice Lumumba
- 20 Julai - Frantz Fanon
[edit] Waliofariki
- 5 Desemba - Wladyslaw Reymont (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1924)