Agnes Mtakatifu
From Wikipedia
Agnes (aliishi katika karne ya 3 au 4 BK) alikuwa bikira aliyekataa kuolewa kwa sababu ya imani yake ya kikristo. Aliteswa na kuuawa wakati wa mateso ya Wakristo chini ya enzi ya Warumi. Sikukuu yake ni 21 Januari.
Agnes (aliishi katika karne ya 3 au 4 BK) alikuwa bikira aliyekataa kuolewa kwa sababu ya imani yake ya kikristo. Aliteswa na kuuawa wakati wa mateso ya Wakristo chini ya enzi ya Warumi. Sikukuu yake ni 21 Januari.