622
From Wikipedia
[edit] Matukio
- 16 Julai: mwanzo wa Hijra - Muhammad na wafuasi wake wanaondoka Makka kuhamia Madina. Mwaka huu utakuwa mwaka wa kwanza wa Kalenda ya Kiislamu.
- 20 Septemba Muhammad anafika Madina anapopokelewa vzuri na kuwa kiongozi wa mji pamoja na Umma wa wafuasi wake
[edit] Waliozaliwa
[edit] Waliofariki
- 8 Aprili: kifo cha Shotoku Kaishi, mwana wa nasaba ya kifalme wa Japani aliyekuwa kati ya wafuasi wa kwanza wa Ubuddha nchini Japani