Otto Warburg
From Wikipedia
Otto Heinrich Warburg (8 Oktoba, 1883 – 1 Agosti, 1970) alikuwa daktari na mwanafiziolojia kutoka nchi ya Ujerumani. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza uvutaji pumzi. Mwaka wa 1931 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.