Wangoni

From Wikipedia

Wangoni ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Ruvuma, hasa upande wa Kusini wa Songea. Pia wako Msumbiji. Lugha yao ni Kingoni.

Asili yao ni katika matembezi ya Wazulu walioenea kutoka Afrika Kusini wakati wa karne ya 19.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wangoni" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wangoni kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.