John Steinbeck

From Wikipedia

John Ernst Steinbeck (27 Februari, 190220 Desemba, 1968) alikuwa mwandishi hodari kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa riwaya yake “Zabibu za Hasira” (kwa Kiingereza: Grapes of Wrath) iliyotolewa mwaka wa 1939. Mwaka wa 1962 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "John Steinbeck" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu John Steinbeck kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.