Wasumbwa
From Wikipedia
Wasumbwa ni kabila kutoka eneo la wilaya ya Bukombe, mkoa wa Shinyanga, kati ya nchi ya Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wasumbwa ilikadiriwa kuwa 191,000 [1]. Lugha yao ni Kisumbwa.
![]() |
Makala hiyo kuhusu "Wasumbwa" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Wasumbwa kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |