Belize (mto)
From Wikipedia
Mto Belize (pia:Mto Mzee) ni mto muhimu zaidi nchini Belize mwenye urefu wa 290 km.
Una chanzo chake ambako mito ya Mopan na Macal inapokutana ndani ya Guatemala. Mashua huwezu kuvuka mto kutoka mdomo kwenye bahari ya Karibi hadi mpaka wa Beliza na Guatemala.
Bonde la mto linajaa misitu minene.