Woodrow Wilson

From Wikipedia

Thomas Woodrow Wilson (28 Desemba, 18563 Februari, 1924) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Miaka ya 1913 hadi 1921 alikuwa Rais wa Marekani. Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Woodrow Wilson" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Woodrow Wilson kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine