Luvua

From Wikipedia

Luvua ni mto katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Chanzo chake ni Ziwa Mweru mpakani wa Kongo na Zambia. Mdomo uko Lualaba ambayo ni tawimto wa Kongo.


Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Chagua maana uliyoikusudi.

Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.

Lugha nyingine