Bernardo Houssay

From Wikipedia

Bernardo Alberto Houssay (10 Aprili, 188721 Septemba, 1971) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Argentina. Baadhi ya uchunguzi mwingine alichunguza uhusiano kati ya homoni na sukari katika kiumbehai cha wanyama. Mwaka wa 1947, pamoja na Carl na Gerty Cori alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Bernardo Houssay" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Bernardo Houssay kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.