Czeslaw Milosz
From Wikipedia
Image:Czeslaw Milosz 1998 by Kubik.jpg
Czeslaw Milosz, mwaka wa 1998 (picha imepigwa na Mariusz Kubik).
Czeslaw Milosz (30 Julai, 1911 – 14 Agosti, 2004) alikuwa mshairi kutoka nchi ya Poland. Tangu mwaka wa 1951 aliishi katika nchi ya Ufaransa, na 1960 alihamia Marekani. Nje ya kutunga mashairi mengi, aliandika pia insha na kutafsiri. Mwaka wa 1969 alitolea kitabu kuhusu historia ya fasihi ya Poland. Mwaka wa 1980 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.