Max Theiler

From Wikipedia

Max Theiler (30 Januari, 189911 Agosti, 1972) alikuwa mwanabiolojia kutoka nchi ya Afrika ya Kusini. Baadaye alihamia na kupata uraia wa Marekani. Hasa alichunguza virusi visababishavyo maradhi mbalimbali. Pia aligundua dawa ya chanjo dhidi ya homa ya manjano. Mwaka wa 1951 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Max Theiler" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Max Theiler kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.