Paraguay

From Wikipedia

República del Paraguay
Tetã Paraguái

Jamhuri ya Paraguay (au: Paragwai)
Flag of Paraguay Nembo ya Paraguay
Bendera Nembo
Wito la taifa: Kihispania: Paz y justicia
("Amani na Haki")
Wimbo wa taifa: Paraguayos, República o Muerte
("Waparaguay, jamuri au mauti")
Lokeshen ya Paraguay
Mji mkuu Asuncion
25°16′ S 57°40′ W
Mji mkubwa nchini Asunción
Lugha rasmi Kihispania, Kiguaraní
Serikali
Rais
Jamhuri
Nicanor Duarte Frutos
Uhuru
imetangazwa

14 Mei 1811
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
406,752 km² (ya 59)
2.3%
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
6,158,000 (ya 101)
15/km² (ya 192)
Fedha Guarani (PYG)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-4)
(UTC-3)
Intaneti TLD .py
Kodi ya simu +595
Ramani ya Paraguay
Enlarge
Ramani ya Paraguay
Nyumba mjini Asuncion
Enlarge
Nyumba mjini Asuncion

Paraguay (pia: Paragwai) ni nchi ya Amerika Kusini isiyo na pwani la bahari. Imepakana na Argentina, Brazil na Bolivia. Jina la 'Paraguay' limetokana na lugha ya Kiguarani lamaanisha 'kutoka mto mkubwa'. Mto huu mkubwa ni Parana.

Mji mkuu ni Asuncion iliyoundwa mwaka 1537 na Mhispania Juan de Salazar. Paraguay ikuwa koloni ya Hispania ikapata uhuru wake mwaka 1811.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Paraguay" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Paraguay kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.