Nchi za Kibalti

From Wikipedia

Ramani ya Bahari ya Baltiki
Enlarge
Ramani ya Bahari ya Baltiki

Nchi za Kibalti ni nchi tatu katika Ulaya ya Kaskazini kando la bahari ya Baltiki:

Siku hizi pia Mkoa wa Kaliningrad wa Urusi (hadi 1945 Prussia ya Mashariki) huhesabiwa kuwa sehemu ya nchi za Kibalti.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Nchi za Kibalti" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Nchi za Kibalti kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.