Wislawa Szymborska

From Wikipedia

Wislawa Szymborska, mwaka wa 2005
Enlarge
Wislawa Szymborska, mwaka wa 2005

Wislawa Szymborska (amezaliwa 2 Julai, 1923) ni mshairi kutoka nchi ya Poland. Mwaka wa 1996 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Wislawa Szymborska" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wislawa Szymborska kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Lugha nyingine