Maputo

From Wikipedia

Maputo inavyoonekana kutoka bahari
Enlarge
Maputo inavyoonekana kutoka bahari
Maputo katika Msumbiji
Enlarge
Maputo katika Msumbiji
Barabara kuu ya Lourenço-Marquès (leo: Maputo) mwaka 1905
Enlarge
Barabara kuu ya Lourenço-Marquès (leo: Maputo) mwaka 1905

Maputo ni mji mkuu wa Msumbiji. Hadi 1976 ilijulikana kwa jina la Kireno la Lourenço-Marquès. Serikali mpya ya Msumbiji huru chini ya rais Samora Machel iliipa jina jipya la Maputo.

Mji una wakazi 1,200,000 (pamoja na mitaa ya nje: 1,800,000). Uchumi wake unategemea sana bandari yake kwenye hori ya Maputo ya Bahari Hindi.

Mito miwili inaishia kwenye hori ni Tembe na Maputo.

[edit] Viungo vya nje

Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Maputo" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Maputo kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.